Basi la Bunda Express
lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Mwanza asubuhi hii limegongana na Treni Eneo
la Manyoni mkoani Singida.
Basi hilo ambalo
halikuweza kujulikana namba zake za usajili kutokana na kuwa limeharibiwa
vibaya
Tukio hilo lilitokea
baada ya dereva wa basi hilo kukosa mwelekeo baada ya kupita kwenye reli ya
treni
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka
eneo la tukiokinasema kuwa watu wanne wamefariki
dunia na kadhaa kujeruhiwa.
Majeruhi Tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni.
Majeruhi Tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni.
Chanzo.
Basi la bunda expres likiwa limejikita pembeni mwa reli ya treni pembeni wakiwa ni wakazi wa eneo hilo wakishuhudia ajali hiyo |
wananchi wa eneo hilo wakishuhudia ajali ya basi katika enehilo wakiwemo madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda.
HABARI,
NA PETER DAUD PANJA
0 comments:
Post a Comment