Padri
wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica, Kihonda mkoani
Morogoro, Octavian Msimbe akionyesha tunguli zilizozungushiwa sanda
zilizokutwa kaburini kwa marehemu Ngwea.
PADRI
AKEMEAAwali, ilielezwa kuwa siku hiyo padri huyo alioteshwa ndoto usiku
juu ya uwepo wa vitu vya ajabu katika makaburi hayo ndipo akakemea kabla
ya kwenda kuvishuhudia asubuhi yake (Ijumaa iliyopita)
NA PRINCEMEDIA BLOG
0 comments:
Post a Comment