Na mwandishi wako Vivian E. Japhet.
Baadhi ya biashara za sokoni hapo. |
Bidhaa za sokoni hapo zinazouzwa kwa bei ya jumla. |
habari mmoja wa wafanyabiashara hao Bi.Fatma Ramadhani amesema kuwa soko hilo halina paa hivyo wamekua wakipata shida hasa majira ya mvua na kupelekea bidhaa nyingi kuharibika
Biashara zinazopatikana katika soko la kwa morombo jijini arusha. |
Pia ameendelea kusema manispaa imewataka kuhamia soko la mnada lililopo jirani na eneo hilo na hawajaridhia kwa sababu eneo hilo limebadilika kuwa makazi ya watu hvyo kupelekea eneo kuwa dogo hali ambayo haitoshelezi kuwa na bidhaa zao.hata hivyo amesema soko ambalo wanashinikizwa kuhamia halina wateja kulingana na eneo walilopo sasa.
kwa upande wa mwenyekiti wa eneo hilo Bw. Erastus Mwita amekiri kuwepo kwa katizo hilo na kuahidi kulishughulikia.
0 comments:
Post a Comment