Serikali ya Afrika Kusini imesema
itazuia ukatili dhidi ya watu wenye uhusiano wa jinsia moja Msemaji wa
wizara ya uhusiano wa kimataifa na ushirikiano Bw Clayson Monyela
amesema, serikali ya Afrika Kusini itahakikisha kuwa vitendo vya ukatili
vitaadhibiwa, na wahusika watachukuliwa hatua, kukamatwa, kufungwa na
kuhukumiwa.
Mwaka 1996 Afrika Kusini ilikuwa nchi ya kwanza duniani
inayotoa ulinzi wa kikatiba kwa watu wenye uhusiano wa jinsia moja. Nchi
hiyo pia ni nchi pekee barani Afrika inayotambua ndoa ya jinsia moja.
From IDHAA YA CHINA KIMATAIFA
Na Albariki Madihi
Wednesday, February 26, 2014
Afrika Kusini yasema itawalinda mashoga dhidhi ya ukatili
12:03 AM
No comments
0 comments:
Post a Comment