Monday, February 3, 2014

MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA MKOANI KILIMANJARO



Leo ni Law Day, tunamsubiri mgeni Rasmi
Wanasheria wakimsubiri Mgeni Rasmi
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akiongoza Wanasheria katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere (kulia), akikagua Gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akijiandaa kukagua gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akijiandaa kukagua gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere (kushoto) akiwa na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, (kulia) ambaye ni mgeni mwalikwa katika

Siku ya Sheria tumependazaje leo

Baadhi ya Mawakili Mashuhuri katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Kamishna wa kamati ya Usuluhishi Taifa, Japhary Ally (kulia) akiwa na Mawakili wenzake katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Mwenyekiti wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka 37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini... Ndugu Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM akichukua taswira.

Original from: http://googlehabari.blogspot.com/2014/02/raisi-jakaya-mrisho-kikwete-apiga-na.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved

0 comments:

Post a Comment