Mkuu wa
Wilaya ya Kinoniondoni, Jordan Rugimbana akikagua chumba cha kompyuta
ambacho kumefanyika uharibifu mkubwa na kuharibu kompyuta za mezani 40
na kompyuta mpakato 16 hazijulikani zilipo baada ya wanafunzi kuvamia
maeneo mbalimbali ya shule hiyo alfajiri ya kuamkia leo majira ya saa
nane usiku na kufanya uiharibifu hio na kuvunja vinja vioo vya majengo
na magari.
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akiwa pamoja na
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura
wakikagua uharibifu uliofanywa na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya St.
Anne Marie iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam leo.
Mabasi ya shule na magari mengine yapatayo 17 yamevinjwa vioo na kuharibiwa vibaya.
Maisha
ya sasa ni ya sayansi na teknolojia na hii ndio moja ya maabara ya
teknolojia hiyo ambayo imeharibiwa vibaya na wanafunzi hao.
DC wa Kinondoni akizungumza na walimu wa shule na viongozi wa shule hiyo.
Walimu wakimsikiliza DC wa Kinondoni
Viongozi wa wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya.
Habari Motomoto :
SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE YA TAREHE 4/2/2014 Tuesday, February 04,
2014
BUSTANI YA HABARI
Wallpapers
Contact Us
Simulizi
Michezo
Mambo adimu
Scholarship
Makala
Video mbalimbali
Habari
Siasa
Dondoo
Home
CONTACTS
SIMULIZI
MASHAIRI
WALLPAPERS
LIGI KUU BARA
A'&O' LEVEL VITABU
03 February 2014
SOMA HOTUBA YA MH RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIYOISOMA KATIKA
SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 37 YA CCM
03 February 2014
HII NDIO POST YA JOYCE KIRIA WA CHADEMA ILIYOZUA MJADALA MKUBWA
FACEBOOK
03 February 2014
NMB NAYO YAJITOKEZA KUTOA MISAADA KWA WAHANGA WA UPEPO IRINGA
03 February 2014
KIGOGO ATUPIWA VYOMBO VYAKE NJE YA NYUMBA NA KAMPUNI YA UDALALI
03 February 2014
WANAFUNZI WA ST ANN MARIE ACADEMY WAFANYA VURUGU NA KUHARIBU MALI ZA
SHULE KINONDONI,DAR ES SALAAM
03 February 2014
PATA TASWIRA KATIKA PICHA YA VURUGU ZILIZOFANYIKA KATIKA MASJID MUSA
HUKO MOMBASA
03 February 2014
RAISI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEKANUSHA MADAI YA KUPITISHA KIINUA
MGONGO KIPYA MILIONI 160 KWA WABUNGE BAADALA YA MILIONI 43
03 February 2014
JIFUNZE KUJITIBU UGONJWA WA KISUKARI KWA NJIA YA ASILI
03 February 2014
SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE YA TAREHE 4/2/2014
03 February 2014
PATA TAARIFA KAMILI KUHUSU KADHIA YA VIKOSI VYA USALAMA KUVAMIA
MSIKITI HUKO MOMBASA
03 February 2014
KUWA WA PEKEE KWA KUMTAKIA RAFIKIA YAKO USIKU MWEMA NA ASUBUHI NJEMA
KWA KICHINA
03 February 2014
MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA MJINI TUNDUMA
03 February 2014
SOMA HOTUBA YA MH RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIYOISOMA KATIKA
SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 37 YA CCM
03 February 2014
HII NDIO POST YA JOYCE KIRIA WA CHADEMA ILIYOZUA MJADALA MKUBWA
FACEBOOK
03 February 2014
NMB NAYO YAJITOKEZA KUTOA MISAADA KWA WAHANGA WA UPEPO IRINGA
03 February 2014
KIGOGO ATUPIWA VYOMBO VYAKE NJE YA NYUMBA NA KAMPUNI YA UDALALI
03 February 2014
WANAFUNZI WA ST ANN MARIE ACADEMY WAFANYA VURUGU NA KUHARIBU MALI ZA
SHULE KINONDONI,DAR ES SALAAM
03 February 2014
PATA TASWIRA KATIKA PICHA YA VURUGU ZILIZOFANYIKA KATIKA MASJID MUSA
HUKO MOMBASA
03 February 2014
RAISI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEKANUSHA MADAI YA KUPITISHA KIINUA
MGONGO KIPYA MILIONI 160 KWA WABUNGE BAADALA YA MILIONI 43
03 February 2014
JIFUNZE KUJITIBU UGONJWA WA KISUKARI KWA NJIA YA ASILI
Home » habari za kitaifa » WANAFUNZI WA ST ANN MARIE ACADEMY WAFANYA
VURUGU NA KUHARIBU MALI ZA SHULE KINONDONI,DAR ES SALAAM
WANAFUNZI WA ST ANN MARIE ACADEMY WAFANYA VURUGU NA KUHARIBU MALI ZA
SHULE KINONDONI,DAR ES SALAAM
Written By umar makoo on Monday, February 3, 2014 | 11:11 PM
Mkuu wa Wilaya ya Kinoniondoni, Jordan Rugimbana akikagua chumba cha
kompyuta ambacho kumefanyika uharibifu mkubwa na kuharibu kompyuta za
mezani 40 na kompyuta mpakato 16 hazijulikani zilipo baada ya wanafunzi
kuvamia maeneo mbalimbali ya shule hiyo alajiri ya kuamkia leo majira ya
saa nane usiku na kufanya uiharibifu hio na kuvunja vinja vioo vya
majengo na magari.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akiwa pamoja na
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura
wakikagua uharibufu uliofanywa na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya St.
Anne Marie iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam leo.
Mabasi ya shule na magari mengine yapatayo 17 yamevinjwa vioo na
kuharibiwa vibaya.
Maisha ya sasa ni ya sayansi na teknolojia na hii ndio moja ya maabara
ya teknolojia hiyo ambayo imeharibiwa vibaya na wanafunzi hao.
DC wa Kinondoni akizungumza na walimu wa shule na viongozi wa shule
hiyo.
Walimu wakimsikiliza DC wa Kinondoni
Viongozi wa wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya.
Kwa hisani ya father kidevu Blog
BannerFans.com
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by BUSTANI YA HABARI Enhanced by
OMARI MAKOO
Share this article :
Related articles
WAZIRI WA TANZANIA PAMOJA ABIRIA 17 WANUSURIKA KUFA BAADA YA NDEGE
KUFELI BREKI
RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALISOMA SEMINARY KWA KUTUMIA JINA LA
SAMWEL LUHANGA
MAAFA YALITIKSA TAIFA LA TANZANIA;MOROGORO MAFURIKO,SINGIDA NA
MTWARA AJALI
SHUHUDIA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LILILO BOMOLEWA NA MAFURIKO
MKOANI MOROGORO
RAISI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEKANUSHA MADAI YA KUPITISHA KIINUA
MGONGO KIPYA MILIONI 160 KWA WABUNGE BAADALA YA MILIONI 43
MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA MJINI TUNDUMA
Labels: habari za kitaifa
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !
Older Post Home
UNGANA NASI TWITTER
HABARI ZILIZOTAMBA
BOFYA HAPA KUTIZAMA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2013
HII NDIO LIST MPYA,YAANI TOP 10 YA WATU MATAJIRI NCHINI TANZANIA
MAHAKAMA YA KENYA YAMFUNDISHA ADABU MCHINA ALIYEKAMATWA NA PEMBE ZA
NDOVU
RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALISOMA SEMINARY KWA KUTUMIA JINA LA
SAMWEL LUHANGA
SIMULIZI:STORY YA KUSISIMUA KUHUSU KIJANA ZAMUNDA
SHUHUDIA PICHA YA GARI LA KIFAHARI AMBALO HALIJAWAHI TUA TANZANIA
TIZAMA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU KWA KIDATO CHA NNE NA SITA HAPA
HII NDIO POST YA JOYCE KIRIA WA CHADEMA ILIYOZUA MJADALA MKUBWA
FACEBOOK
JUAN MATA ATUA MANCHESTER UNITED KWA HELIKOPTA,WACHEZAJI WA MAN U
WAJITOKEZA KUMLAKI
Search This Blog
FAHARI YA TANZANIA
Republic of Tanzania
human clock
Subscribe To
Posts
Comments
Follow by Email
Google+ Followers
Translate
je wewe ni mjanja??jiunge sasa..!!
Home
contacts
usiyoyajua
matukio
designing
Simulizi
Support : Creating Website | Omari Makoo | Makoo web designer
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. BUSTANI YA HABARI - All Rights Reserved
makoo web designer
Yote haya ni BUSTANI YA HABARI:The best designer - tengeneza blog kama
hii hapa
Template Design by BUSTANI YA HABARI Published by Omari Makoo
Original from: http://googlehabari.blogspot.com/2014/02/wanafunzi-wa-st-ann-marie-academy.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://googlehabari.blogspot.com/2014/02/wanafunzi-wa-st-ann-marie-academy.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
0 comments:
Post a Comment