NA:MARIAM HASSAN
Kundi la wachimbaji migodi haramu waliookolewa kutoka
mgodi uliotelekezwa nchini Afrika Kusini na maafisa wa uokoaji
wanatarajiwa kufika kizimbani hivi leo.
Wote 22 walikamatwa na kufunguliwa mashtaka.
Vyombo vya habari vya Afrika Kusini vinasema takriban wachimba migodi wengine 200 bado wamenasa katika mgodi huo lakini wamekataa kuokolewa wakihofia kukamatwa na polisi. Baadhi yao wanatoka katika mataifa jirani
CHANZO:BBC SWAHILI
0 comments:
Post a Comment