skip to main | skip to sidebar
Wafanyakazi wa kampuni ya Megatrade wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo cha New Paradise kilichopo kata ya sokoni 1 jijini Arusha,wakionekana wenye furaha kabisa baada ya kukabidhiwa msaada huo wa vyakula mbalimbaliMeneja mauzo na masoko Goodluck Kway wa kampuni ya Megatrade Investment akiwa anamkabidhi mmoja wa watoto yatima katoni ya soda (mwenye T-shirt ya blue) ikiwa ni sehemu ya kuwapa matumaini mapya watoto hao waishio katika mazingira magumu,msaada huo wa vyakula mbalimbali umetolewa kwenye kituo hicho.Sehemu ya baadhi ya vitu vilivyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment kupitia kinywaji chake cha K-vant Gin katika kituo cha watoto yatima cha New Paradise kilichopo kata ya sokoni 1 jijini Arusha
posted by;Mariam Hassan
0 comments:
Post a Comment