Monday, March 24, 2014

EXCLUSSIVE!!!!!! HUYU HAPA YULE MTOTO ALIYEOTA NYAMA ZA AJABU MWILINI KAMA PEMBE..... maombi yako ni muhimu

HAKIKA UKIFANYA HIVI MUNGU ATAKUBARIKI KUWA NA HURUMA

LAZIMA utokwe machozi! Grace John mkazi wa Mzumbe, Mvomero mkoani Morogoro yupo kwenye wakati mgumu kutokana


 



 




 



BADO ANAHITAJI MSAADA
“Madaktari wametupa moyo, wamesema watajaribu kumsaidia mwanangu. Watamtoa hizo nyama ila kwa sababu kutabaki na mashimo lazima wapandikize nyama nyingine.
“Tumeshakubaliana kuwa mimi ndiye nitakayekatwa sehemu ya nyama kutoka kwenye makalio yangu kwa ajili ya kumsaidia mwanangu,” alisema Bi. Grace, kilio kikisikika kwenye simu.


0 comments:

Post a Comment