Home
Business
Internet
Market
Stock
Downloads
Dvd
Games
Software
Office
Parent Category
Child Category 1
Sub Child Category 1
Sub Child Category 2
Sub Child Category 3
Child Category 2
Child Category 3
Child Category 4
Featured
Health
Childcare
Doctors
Uncategorized
Wednesday, March 19, 2014
Madiwani wa iringa watakiwa kuelimisha wananchi kuhusu madhara ya uwizi wa maji
2:53 AM
No comments
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira iringa mjini IRUWASA imewataka madiwani wanapokuwa kwenye vikao vyao na wananchi,wawaelimishe ili waachane na swala zima la wizi wa maji pamoja na matumizi yasiyo kuwa sahihi .
Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa bodi ya maji iringa
BW. Pascal Mhongole
Wakati akiongea na madiwani wa Halmashauri ya manispaa ya iringa katika semina ya wiki ya maji iliyoanza jana,semina hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya iringa mjini
Kwa upande wake mtoa semina hiyo
BI.JESCA
MWALYOYO
amesema kuwa ili mamlaka iweze kujiendesha ni wajibu wa watumiaji wote wa maji kulipa bili zao kwa wakati pindi tu wanapopata bili hizo ili kuweza kuepukana na usumbufu ikiwa nipamoja na kukatiwa maji.
Semina hiyo iliambatana na kutolewa zawadi ya hati maalum na fedha taslimu shilingi elfu hamsini kwa kwa wananchi wanne ambao wameonyesha ushirikiano wa kulipa bili ya maji kwa muda unaostahili.
Aidha waliopokea hati hizo na zawadi ni CHARLES MUNGAI, HALIMAMPOSI, SAMWELI KINYUNYU pamoja na mwakilishi kutoka shirika la NSSF.
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Social Profiles
Popular
Tags
Blog Archives
(no title)
malezi bora kwa mtoto ni kuonesha upendo wakati wote
CLUB YA WAANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WATEMBELEA VITUO VINNE VYA REDIO!!
Picha na Habari by:Emanueli onesmo ndanshau Wanachama wa Club ya Waandishi wa Habari na utangazaji (AJTC) katika Chuo cha Uandishi wa...
VIKOSI VYA USALAMA VYAPAMBANA NA AL-SHABAB SOMALIA..
Vikosi vya usalama vya Somalia vimezima shambulio la wanamgambo wa al Shabab katika makao makuu ya masuala ya kiintelijinsia na kitengo cha...
ziwa natron
ziwa natron laonekana kuwa na ndege wa asili wengi sana wakiwa ni vivutio vikubwa katika utali wa ndan wa nchi yetu hinyo ni vinzuri...
POLISI WAZUIA MKUTANO CHADEMA, WARUHUSU CCM
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Mombo wamedai, hawajafurahishwa na Jeshi la Polisi mjini hapa, kuzuia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Ma...
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
NA MWAJUMA ABDUL Wanajeshi wa Sudan Kusini Kamati ...
TANZANIA NA BURUNDI ZAIMARISHA ALAMA ZA MIPAKA YAKE.....
Shughuli ya kuweka alama mpya ya mpaka kati ya Tanzania na Burundi inaendelea, ambapo nchi hizo mbili jirani zinapima na kuweka mawe ya k...
TATIZO LA UNYESHAJI MVUA KATIKA SOKO LA KWA MOROMBO JIJINI ARUSHA.
Na mwandishi wako Vivian E. Japhet. Baadhi ya biashara za sokoni hapo. Wafanyabiashara wa soko la kwa Morombo lililopo jijini Arus...
Mvua yaua,watu 300 hawana makazi
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatius Makunga. Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 300 hawana mahali pa kuishi katika Wilaya y...
ARUSHA;WANAFUNZI WAISHIO HOSTELI AJTC WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA....
Aliyeva shati jeupe ni Waziri Emmanuel Ndenshau kiongozi wa hosteli za Loliondo katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha a...
Powered by
Blogger
.
About Me
Unknown
View my complete profile
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
►
April
(11)
▼
March
(31)
HABARI ZA MOROGORO: Mvua za leta tena maafa Morogoro!
MTIZAME BIBI WA MIAKA 100 AHITIMU ELIMU YA MSINGI!...
WARIOBA AMCHANA LIVE PROF. SHIVJI
HABARI ZA ARUSHA: MANGARIBA 150 WASALIMISHA ZANA Z...
BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA GABRIEL TUPA A...
RAIS KIKWETE AMEAHIRISHA ZIARA YAKE MKOANI TANGA
EXCLUSSIVE!!!!!! HUYU HAPA YULE MTOTO ALIYEOTA NYA...
FAO kuzuia kutokea maafa ya chakula CAR
Watu 529 wahukumiwa Kifo Misri!
WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA RAIS KIKWETE
PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA
Mwanafunzi wa chekechea wa miaka 6 alawitiwa Iring...
Utelekezaji wa watoto Iringa jamii yaaswa kutoa ma...
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
Simiyu yakabiliwa na Njaa kali!!!!!!!!!!!!!
Wawili wafariki dunia mkoani iringa, mmoja kwa kui...
Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
NAFASI MPYA ZA KAZI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA M...
Madiwani wa iringa watakiwa kuelimisha wananchi ku...
RIDHIWANI KIKWETE AAHIDI KILA KIJIJI KUPATA TREKTA...
Mazingira machafu yawakera Wakazi wa kinegomgosi ‘...
Israel yaushambulia Ukanda wa Gaza
KIKWETE KUMWAPISHA KATIBU MKUU WA BUNGE MAALUM LA ...
SHANGAZI WA RAIS KENYATA ATEKWA JIJINI NAIROBI
NICE MEDIA WORKS
Juhudi za Kerry zagonga mwamba Paris
WABUNGE KENYA WATAKA SHERIA KALI DHIDI YA MAPENZI ...
Maoni:Umoja wa ulaya wasaka njia za kuitanabahisha...
Obama ataka wachunguzi kutumwa Ukraine
Tanzania kushiriki Miss Grand International 2014
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Labels
BURUDANI
habari
habari ya kimataifa
habari ya kitaifa
HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BUNGE
habari za kimataifa
i
KIJAMII
kitaifa
MICHEZO
Urembo ( fashion).
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
►
April
(11)
▼
March
(31)
HABARI ZA MOROGORO: Mvua za leta tena maafa Morogoro!
MTIZAME BIBI WA MIAKA 100 AHITIMU ELIMU YA MSINGI!...
WARIOBA AMCHANA LIVE PROF. SHIVJI
HABARI ZA ARUSHA: MANGARIBA 150 WASALIMISHA ZANA Z...
BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA GABRIEL TUPA A...
RAIS KIKWETE AMEAHIRISHA ZIARA YAKE MKOANI TANGA
EXCLUSSIVE!!!!!! HUYU HAPA YULE MTOTO ALIYEOTA NYA...
FAO kuzuia kutokea maafa ya chakula CAR
Watu 529 wahukumiwa Kifo Misri!
WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA RAIS KIKWETE
PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA
Mwanafunzi wa chekechea wa miaka 6 alawitiwa Iring...
Utelekezaji wa watoto Iringa jamii yaaswa kutoa ma...
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
Simiyu yakabiliwa na Njaa kali!!!!!!!!!!!!!
Wawili wafariki dunia mkoani iringa, mmoja kwa kui...
Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
NAFASI MPYA ZA KAZI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA M...
Madiwani wa iringa watakiwa kuelimisha wananchi ku...
RIDHIWANI KIKWETE AAHIDI KILA KIJIJI KUPATA TREKTA...
Mazingira machafu yawakera Wakazi wa kinegomgosi ‘...
Israel yaushambulia Ukanda wa Gaza
KIKWETE KUMWAPISHA KATIBU MKUU WA BUNGE MAALUM LA ...
SHANGAZI WA RAIS KENYATA ATEKWA JIJINI NAIROBI
NICE MEDIA WORKS
Juhudi za Kerry zagonga mwamba Paris
WABUNGE KENYA WATAKA SHERIA KALI DHIDI YA MAPENZI ...
Maoni:Umoja wa ulaya wasaka njia za kuitanabahisha...
Obama ataka wachunguzi kutumwa Ukraine
Tanzania kushiriki Miss Grand International 2014
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Recent Posts
Unordered List
Download
0 comments:
Post a Comment