Monday, March 31, 2014
MTIZAME BIBI WA MIAKA 100 AHITIMU ELIMU YA MSINGI!!!!!!!!!!!!
2:03 AM
No comments
Bibi mmoja nchini Mexico amefanikiwa
kuhitimu elimu ya shule ya msingi akiwa
na umri wa miaka 100.
Bibi huyo Manuela Hernandez (pichani)
ambaye alizaliwa katika jimbo la Oaxaca
mnamo mwezi Juni 1913, aliacha shule ya
msingi baada ya kusoma kwa mwaka
mmoja tu na kurejea kuisaidia familia
yake masikini kufanya kazi za nyumbani.
Hata hivyo alirejea shule kuendelea na
masomo mwezi Oktoba mwaka uliopita
akiwa na miaka 99 kufuatia kushauriwa
na mmoja wa wajukuu zake.
Manuela Hernandez akiwa ameshikiliacheti chake cha kuhitimu elimu ya
msingi.Hivi sasa tayari amekabidhiwa diplomayake ya elimu ya msingi
katika shereheiliyofanyika katika jimbo Mexico Kusini.Bibi Hernandez
amesema sasa ataendeleana masomo ya elimu ya sekondari.Zaidi ya nusu ya
wakazi wa jimbo laOaxaca wenye umri wa zaidi ya miaka 15hawajamaliza
elimu ya msingi.
WARIOBA AMCHANA LIVE PROF. SHIVJI
2:01 AM
No comments
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba
akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa gazeti hili,
nyumbani kwake jijini Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mjwahuzi.
DAR ES SALAAM.
MJADALA wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.
MJADALA wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.
“Shivji alikuwa anasema Tanganyika imejificha kwenye Muungano ili inufaike. Kwa hiyo anasema Tanganyika iwe wazi isijifiche,” alisema Jaji Warioba.
Wednesday, March 26, 2014
Monday, March 24, 2014
EXCLUSSIVE!!!!!! HUYU HAPA YULE MTOTO ALIYEOTA NYAMA ZA AJABU MWILINI KAMA PEMBE..... maombi yako ni muhimu
5:12 AM
No comments
HAKIKA UKIFANYA HIVI MUNGU ATAKUBARIKI KUWA NA HURUMA
![]() |
| LAZIMA utokwe machozi! Grace John mkazi wa Mzumbe, Mvomero mkoani Morogoro yupo kwenye wakati mgumu kutokana |
![]() |
![]() |
BADO ANAHITAJI MSAADA
“Madaktari wametupa moyo, wamesema watajaribu kumsaidia mwanangu.
Watamtoa hizo nyama ila kwa sababu kutabaki na mashimo lazima
wapandikize nyama nyingine.
“Tumeshakubaliana kuwa mimi ndiye nitakayekatwa sehemu ya nyama
kutoka kwenye makalio yangu kwa ajili ya kumsaidia mwanangu,” alisema
Bi. Grace, kilio kikisikika kwenye simu.
FAO kuzuia kutokea maafa ya chakula CAR
5:10 AM
No comments
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limetangaza kuwa, litachukua hatua za kuhakikisha kwamba, linazuia kutokea maafa ya chakula katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na kundi la Kikristo la Anti-Balaka dhidi ya Waislamu.
Shirika hilo limeatangaza kuwa, linapanga kuanzisha mpango wa ustawi wa kilimo, kudhamini chakula kinachofaa kwa wote, kupambana na lishe duni na kuboresha chakula cha watu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na maeneo mengine duniani.
Tayari FAO imetiliana saini na serikali ya muda ya Bangui, mpango wenye thamani ya dola milioni nane. Wakati huo huo, mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali yameendelea kutahadharisha kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati hususan Waislamu. Mamia ya Waislamu wameuawa na maelfu ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi yanayoendelea kufanywa na wanamgambo wa Kikristo wa Anti Balaka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
SOURCE: PRINCEMEDIA TZ BLOG
Saturday, March 22, 2014
WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA RAIS KIKWETE
10:56 PM
No comments
PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA
10:54 PM
No comments
NA PRINCEMEDIA BLOG
Friday, March 21, 2014
Thursday, March 20, 2014
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
8:47 AM
No comments
Lakini amepuuzilia mbali wito wa Rais Zuma kuondolewa mamlakani kwa kura ya wabunge au hata kujizulu.
Hapo jana mdhibiti wa mali ya umma,Thuli Madonsela, alisema kuwa Zuma alitumia sehemu za pesa za umma zilizotengewa ukarabati wa nyumba yake kwa mambo yake binafsi.
Thuli Madonsela, aliamuru Rais Zuma kulipa pesa za ziada alizotumia za umma kukarabati nyumba yake ya kifahari, akisema kuwa alijinufaisha na pesa za umma kwa njia isiyofaa.
Ukarabati huo, ulijumuisha bwawa la kuogelea, kliniki binafsi na eneo la helikopta kuweza kutua.
Chama hicho kimesema kuwa ripoti hiyo imetolewa wakati usiofaa nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu mwezi Mei.
Simiyu yakabiliwa na Njaa kali!!!!!!!!!!!!!
2:19 AM
No comments
ZAIDI ya Watu lakini tano (500, 000) Mkoni
Simiyu, wanakabiliwa na Njaa kutokana na kutopata Mvua, hali inayofanya
Mazao yao kukauka kwa sababu ya jua.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti ametoa agizo hilo Machi 18, mwaka huu ambapo amewataka
Wananchi wa Mkoa huo, wasiuze Chakula kidogo walichopata kwani hivi
sasa hali ni mbaya huku akiwaagiza Viongozi wa Wilaya kuhakikisha kuwa
wanadhibiti uuzwaji wa Chakula kwa baadhi ya Wananchi wa maeneo husika.
Wakielezea hali ya Chakula katika Kata
zao, baadhi ya Madiwani wa Mkoa huo wamesema hali ya Chakula katika Kata
zao ni mbaya kutokana na Ukame unaosababishwa na hali ya mabadiliko ya
tabia ya Nchi.
Kufuatia hali hiyo Mkuu wa Mkoa amewaagiza
Wananchi wa Mkoa huo, kulima Mazao yanayostahimili Ukame, kama Mtama,
Viazi Vitamu na Kunde ili kuendana na Hali ya Hewa.



















