Binti wa Raisi wa Marekani, Malia Obama mwenye umri wa miaka 16
alimpiga/alimgonga kwa bahati mbaya msichana aliyefahamika kwa jina la
Bridget Truskey walipokuwa katika tamasha kubwa la muziki la
Lollapalooza nchini Marekani.
Msichana huyo amewashangaza watu baada ya kuonesha kufurahishwa sana na tukio hilo kutokana na umaarufu wa Malia Obama. Truskey ametweet sentensi kadhaa kuonesha furaha yake huku maelezo yakionesha kuwa haamini kilichotokea.
0 comments:
Post a Comment