kushoto ni Bwana Noel Taluka Akizungumza na mwanahabari. |
Hayo yamesemwa na mmoja
wa wafanyabiashara Bwana Noel
Taluka ambaye ni
muuzaji wa vifaa
vya shule na muda wa matumizi ya
wavuti wakati akizungumza na wanahabari
ofisi kwake Ndani ya chuo
cha uandishi wa habari na
utangazaji jijini Arusha.
Bwana Taluka
amefafanua kwamba wafanyabiashara waliomakini ni lazima
wafanye utafiti mahususi juu ya biashara wanayotaka kuifungua ili kuwafanya
waendane sambamba na mahitajio ya jamii inayowazunguka.
Amebainisha kuwa mafanikio yakujihusisha na biashara ni
makubwa endapo mfanyabiasha husika akifanya biashara kwa kuzingatia malengo
yake na kujitahidi kuwa wabunifu katika biasharasha ili kuwavutia wateja wao.
Aidha bwana Taluka amesema suala la malalamiko ya wateja
katika punguzo la bei ni moja ya changamoto ambayo inawakabilia wafanyabiasha
wengi nchi lakini amesisitza kuwa biashara ni maelewano na hata siku moja
hajawahi kushidwa kuelewana na wateja wake.
Amehitimisha
kwa kuwashauri wafanyabiashara wengine kuwa na
tabia ya kufahamu sehemu ambazo ni
rahisi kufanyia biashara
zao pamoja na
kuacha tabia Ya
kupandisha bei ya
bidhaa hovyo.
0 comments:
Post a Comment