Tuesday, August 12, 2014

Wafanya biashara wa soko la kwa morombo mkoani Arusha wameimba serikali kuboresha miundo mbinu



Wafanya biashara wa soko la kwa morombo mkoani Arusha wameimba serikali kuboresha miundo mbinu ndani ya soko hilo

Wakizungumza na mwandishi wetu wafanyabiashara hao wamesema kuwa mazingira ya shughuli zao hayaridhishi kwani kwan tatizo la uchafu wa mazingira limekuwa la muda mrefu bila kufanyiwa ufumbuzi wa aina yeyote
Aidha wameeleza kuwa wamekuwa wakitoa michango ya ushuru wa soko hilo ikiwa na lengo kubwa ni kuboresha miundo mbinu ya soko hilo na matokeo yake ni kutokuboreshwa  huku baadhi ya wafanyabiashara wakibakiwa na maswali kuwa ushuru wanaotoa unapelekwa wapi

Mmoja wa wafanyabiashara  wa maindi Bi pendo moyo amesema watashuhulikia maeneo mbalimbali kwa wale watakao sita kutoa ushuru atapatiwa adhabu ama faini ambayo itamfanya asirudie kosa hilo

Kulia Melina makabali akifanya maojianio na mmoja wa wafanyabiashara bw; Jafari Mwanga katika soko la kwa morombo jana (Picha na Charles Chami)

“Kila siku tuna lalamika kuhusu mazingira lakini hatueleweki na tunawambia wasipolipa watafukuzwa maeneo ya haya” 

0 comments:

Post a Comment