Thursday, August 21, 2014

ANGALIA WANAFUNZI WA AJTC WAKIWA KATIKA MAZOEZI YA VITENDO

Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha AJTC wakisikiliza moja ya presentation zilizokwa zikitolewa na wanafunzi wenzao hii ikiwa ni sehemu ya mafunzo kwa vitendo



 Mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho Bahati Mshana akiwasilisha mada yake mbele ya wanafunzi

 somo la  Public raations likiwa linawasilishwa kwa vitendo na baadhi ya wanafunzi chuoni hapo 

0 comments:

Post a Comment