Home
Business
Internet
Market
Stock
Downloads
Dvd
Games
Software
Office
Parent Category
Child Category 1
Sub Child Category 1
Sub Child Category 2
Sub Child Category 3
Child Category 2
Child Category 3
Child Category 4
Featured
Health
Childcare
Doctors
Uncategorized
Tuesday, April 15, 2014
TIZAMA HAPA Yaliyojiri katika Bunge la Katiba
1:20 AM
HABARI ZA BUNGE
No comments
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba saba Freeman Mbowe akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba sita Ismail Jussa akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati namba saba ya Bunge Maalum la Katiba Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi akiwasilisha maoni ya kamati yake leo mjini Dodoma kuhusu sura ya kwanza na sita ya
rasimu ya Katiba mpya
.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mohamed Abood(kushoto) na Stephen Wassira wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(wa pili kulia) akiongoza na wajumbe wengine wa Bunge hilo kuelekea katika mapumziko mafupi
mara
baada ya kikao kuharishwa leo mchana mjini .
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba James Mbatia (kushoto), Mohamed Raza( wa pili kushoto) , Profesa Ibrahim Lipumba (wa pili kulia) na Freeman Mbowe(kulia) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
Picha na Bunge Maalum la Katiba -Dodoma.
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Social Profiles
Popular
Tags
Blog Archives
UJASIRIAMALI NI MKOMBOZI WA MAISHA..ARUSHA
Mkurugenzi wa mafunzo katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha bwana Joseph Mayagila Akifungua semina ya ujasiriamali iliyo...
Liberia kupatiwa dawa ya majaribio ya Ebola
Liberia imetangaza kuwa hivi karibuni itapokea dozi za dawa za majaribio ya kutibu ugonjwa wa Ebola kutoka Marekani, ambazo itazitumia kw...
CLUB YA WAANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WATEMBELEA VITUO VINNE VYA REDIO!!
Picha na Habari by:Emanueli onesmo ndanshau Wanachama wa Club ya Waandishi wa Habari na utangazaji (AJTC) katika Chuo cha Uandishi wa...
WANAHABARI WATAKIWA KUWAFICHUA WANAOUZA DAMU MAHOSPITALINI!!
Mtaalamu kutoka tume ya uchangiaji damu salama Nchini Bw.George Chambo akitoa utambulisho mfupi wa msafara aliofuatana nao. Kat...
KWELI SHETANI AKIZEEKA ANAKUWA MALAIKA
ROONEY APEWA UNAHODHA WA ENGLAND. habari na YASINTA PETER Nahodha mpya wa England Wayne Rooney. Kocha mkuu wa ti...
(no title)
wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari arusha wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya shoo ya pamoja katika maafali ya chuo katik...
MTOTO WA MAREHEMU TYSON "SONIA" ATOA WOSIA MZITO KUHUSU KIFO CHA BABA YAKE, SIKILIZA SAUTI YAKE HAPA
Juzi simanzi ma majonzi vilitawala katika viwanja vya Leaders Club wakati mamia ya watu walipokuwa wakiaga mwili wa muongozaji ...
(no title)
Waraka wa Katiba wa CCM hadharani Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.PICHA|MAKTABA NA SIA MINJA CHANZO MWA...
WAJASIRIAMALI WADOGO KATIKA SOKO LA KWA MROMBO WAMELALAMIKIA UONGOZI WA SOKO HILO KUTOKANA MFUMUKO WA BEI.
(Kutoka kushoto ni mjariliamali MAMA ABDULY ak...
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA MWAKA LA WAKAGUZI WA HESABU ZA NDANI JIJINI ARUSHA LEO.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua Kongamano la mwaka l...
Powered by
Blogger
.
About Me
Unknown
View my complete profile
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
▼
April
(11)
AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WAN...
Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC...
MELI YENYE ABIRIA 460 IMEZAMA KOREA KUSINI
KUHUSU BOMU LA ARUSHA POLISI WATANGAZA BINGO KWA A...
PAMOJA NA MAFURIKO YALIYOPO JIJINI DARESALAAM WATU...
TIZAMA HAPA Yaliyojiri katika Bunge la Katiba
PITIA HAPA KUJUA HATUA ZA MWISHO ZA MZEE GURUMO KA...
MZEE WA MIAKA 60 AUWAA KINYAMA KWA TUHUMA ZA USHIR...
HABARI ZA SHINYANGA: Wimbi la Mauaji ya Vikongwe S...
HABARI ZA IRINGA: WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA...
►
March
(31)
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Labels
BURUDANI
habari
habari ya kimataifa
habari ya kitaifa
HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BUNGE
habari za kimataifa
i
KIJAMII
kitaifa
MICHEZO
Urembo ( fashion).
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
▼
April
(11)
AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WAN...
Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC...
MELI YENYE ABIRIA 460 IMEZAMA KOREA KUSINI
KUHUSU BOMU LA ARUSHA POLISI WATANGAZA BINGO KWA A...
PAMOJA NA MAFURIKO YALIYOPO JIJINI DARESALAAM WATU...
TIZAMA HAPA Yaliyojiri katika Bunge la Katiba
PITIA HAPA KUJUA HATUA ZA MWISHO ZA MZEE GURUMO KA...
MZEE WA MIAKA 60 AUWAA KINYAMA KWA TUHUMA ZA USHIR...
HABARI ZA SHINYANGA: Wimbi la Mauaji ya Vikongwe S...
HABARI ZA IRINGA: WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA...
►
March
(31)
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Recent Posts
Unordered List
Download
0 comments:
Post a Comment