Home
Business
Internet
Market
Stock
Downloads
Dvd
Games
Software
Office
Parent Category
Child Category 1
Sub Child Category 1
Sub Child Category 2
Sub Child Category 3
Child Category 2
Child Category 3
Child Category 4
Featured
Health
Childcare
Doctors
Uncategorized
Friday, April 4, 2014
HABARI ZA SHINYANGA: Wimbi la Mauaji ya Vikongwe Shinyanga lapungua!
12:29 AM
No comments
WIMBI la mauaji ya Vikongwe na Watu wasio na hatia uliokuwa unafanyika katika Mkoa wa Shinyanga, ambapo maisha ya watu ya Wananchi wake yalikuwa yanakatishwa na baadhi ya Watu kwa Imani za Kishirikina hali sasa ni shwari
.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Evarist Mangala amesema kuhusiana na hali hiyo Jeshi limejitahidi kupambana na wahalifu wanaoshiriki Vitendo hivyo na kuiachia Sheria kupambana nao ili kukomesha tatizo hilo.
Amesema hatua hiyo imefanikiwa kutokana na Elimu ambayo Jeshi hilo limekuwa likiitoa, ili kuondoa dhana iliyokuwa imejengeka miongoni mwa jamii hiyo katika Mkoa wa Shinyanga.
Aidha alisema katika kipindi cha mwezi Februari na Machi hakuna tukio lolote ambalo limetokea likihusishwa na Imani hizo, ambapo ikilinganishwa na kipindi kilichopita ambapo Vikongwe waliuwawa alikuwemo, Lucia Mgonga (55) mkazi wa kijiji cha Mega Wilayani Kahama, Ng’wana Gimbishi (75) aliyeokotwa katika Soko la Mitumbani
(hakujulikana makazi yake),
Esha Juma (61) Mkazi wa Ngokolo naHappyness Paulo (48), mkazi wa Majengo, na wengine ambao hakuweza kuwataja majina yao,
wakiwa wameuwawa kwa kuhusishwa na Imani za kishirikina
.
“Sasa hivi watu wameelimika tuko kwenye karne ya Sayansi na Tekinolojia, mambo ya kuuana Watu wameona ni suala ambalo limepitwa na wakati tofauti na ilivyokuwa hapo awali ambapo kama ilikuwa inapita wiki bila kuripotiwa tukio la mauaji yanayohusishwa na Imani hizo ilikuwa bahati” alisema Mangala
Amesema kutoka na hali hiyo Mahakama ya Wilaya Kahama inaendelea kushughulikia kesi mbalimbali zikiwemo Zinazohusishwa na Imani za Kishirikina na Mahakama ya Mwanzo Mjini Shinyanga.
Mbali na hayo alisema, mauaji ya watu mbalimbali wakiwemo yalikuwa yakifanywa nyakati za usiku na alfajiri ambapo wauaji walikuwa wanavunja Nyumba za watu wanaohisiwa kuhusika na hali hiyo na kubakwa na wengine kuchukuliwa viungo vya miili yao ikiwemo viungo vya sehemu za siri.
“Sasa hivi hakuna matukio ya mauaji yeyote ambayo yanaripotiwa mara kwa mara ni ‘machache’ wameachana na hayo mambo na mwaka huu tangu uanze hali imekuwa shwari kidogo.
Mkoa wa Shinyanga ni miongoni mwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa, ambayo inatajwa kuwa Wananchi wake wanaamini suala la ushirikika kama sehemu ya maendeleo kwa kiwango kikubwa kutokana na takwimu mbalimbali kutoka katika Ukanda huo.
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Social Profiles
Popular
Tags
Blog Archives
(no title)
malezi bora kwa mtoto ni kuonesha upendo wakati wote
CLUB YA WAANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WATEMBELEA VITUO VINNE VYA REDIO!!
Picha na Habari by:Emanueli onesmo ndanshau Wanachama wa Club ya Waandishi wa Habari na utangazaji (AJTC) katika Chuo cha Uandishi wa...
VIKOSI VYA USALAMA VYAPAMBANA NA AL-SHABAB SOMALIA..
Vikosi vya usalama vya Somalia vimezima shambulio la wanamgambo wa al Shabab katika makao makuu ya masuala ya kiintelijinsia na kitengo cha...
ziwa natron
ziwa natron laonekana kuwa na ndege wa asili wengi sana wakiwa ni vivutio vikubwa katika utali wa ndan wa nchi yetu hinyo ni vinzuri...
POLISI WAZUIA MKUTANO CHADEMA, WARUHUSU CCM
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Mombo wamedai, hawajafurahishwa na Jeshi la Polisi mjini hapa, kuzuia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Ma...
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
NA MWAJUMA ABDUL Wanajeshi wa Sudan Kusini Kamati ...
TANZANIA NA BURUNDI ZAIMARISHA ALAMA ZA MIPAKA YAKE.....
Shughuli ya kuweka alama mpya ya mpaka kati ya Tanzania na Burundi inaendelea, ambapo nchi hizo mbili jirani zinapima na kuweka mawe ya k...
TATIZO LA UNYESHAJI MVUA KATIKA SOKO LA KWA MOROMBO JIJINI ARUSHA.
Na mwandishi wako Vivian E. Japhet. Baadhi ya biashara za sokoni hapo. Wafanyabiashara wa soko la kwa Morombo lililopo jijini Arus...
Mvua yaua,watu 300 hawana makazi
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatius Makunga. Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 300 hawana mahali pa kuishi katika Wilaya y...
ARUSHA;WANAFUNZI WAISHIO HOSTELI AJTC WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA....
Aliyeva shati jeupe ni Waziri Emmanuel Ndenshau kiongozi wa hosteli za Loliondo katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha a...
Powered by
Blogger
.
About Me
Unknown
View my complete profile
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
▼
April
(11)
AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WAN...
Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC...
MELI YENYE ABIRIA 460 IMEZAMA KOREA KUSINI
KUHUSU BOMU LA ARUSHA POLISI WATANGAZA BINGO KWA A...
PAMOJA NA MAFURIKO YALIYOPO JIJINI DARESALAAM WATU...
TIZAMA HAPA Yaliyojiri katika Bunge la Katiba
PITIA HAPA KUJUA HATUA ZA MWISHO ZA MZEE GURUMO KA...
MZEE WA MIAKA 60 AUWAA KINYAMA KWA TUHUMA ZA USHIR...
HABARI ZA SHINYANGA: Wimbi la Mauaji ya Vikongwe S...
HABARI ZA IRINGA: WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA...
►
March
(31)
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Labels
BURUDANI
habari
habari ya kimataifa
habari ya kitaifa
HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BUNGE
habari za kimataifa
i
KIJAMII
kitaifa
MICHEZO
Urembo ( fashion).
Blog Archive
▼
2014
(183)
►
October
(2)
►
September
(17)
►
August
(22)
►
July
(9)
►
June
(19)
▼
April
(11)
AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WAN...
Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC...
MELI YENYE ABIRIA 460 IMEZAMA KOREA KUSINI
KUHUSU BOMU LA ARUSHA POLISI WATANGAZA BINGO KWA A...
PAMOJA NA MAFURIKO YALIYOPO JIJINI DARESALAAM WATU...
TIZAMA HAPA Yaliyojiri katika Bunge la Katiba
PITIA HAPA KUJUA HATUA ZA MWISHO ZA MZEE GURUMO KA...
MZEE WA MIAKA 60 AUWAA KINYAMA KWA TUHUMA ZA USHIR...
HABARI ZA SHINYANGA: Wimbi la Mauaji ya Vikongwe S...
HABARI ZA IRINGA: WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA...
►
March
(31)
►
February
(67)
►
January
(5)
►
2013
(28)
►
December
(5)
►
November
(16)
►
October
(7)
Recent Posts
Unordered List
Download
0 comments:
Post a Comment