PENATI DAKIKA ZA MAJERUHI YAWAKATA MAINI SIMBA!!!
ALHAMISI: JKT RUVU v YANGA, JE YANGA KUKWAA KILELENI?
LEO Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam uligeuka vurugu tupu mara baada ya Kagera Sugar kusawazisha Bao kwa Penati katika Dakika za Majeruhi na Mashabiki kung’oa Viti na kuvitupa Uwanjani hali ambayo iliwalazimu Polisi kufyatua Mabomu ya Machozi.