Monday, March 31, 2014
MTIZAME BIBI WA MIAKA 100 AHITIMU ELIMU YA MSINGI!!!!!!!!!!!!
2:03 AM
No comments
Bibi mmoja nchini Mexico amefanikiwa
kuhitimu elimu ya shule ya msingi akiwa
na umri wa miaka 100.
Bibi huyo Manuela Hernandez (pichani)
ambaye alizaliwa katika jimbo la Oaxaca
mnamo mwezi Juni 1913, aliacha shule ya
msingi baada ya kusoma kwa mwaka
mmoja tu na kurejea kuisaidia familia
yake masikini kufanya kazi za nyumbani.
Hata hivyo alirejea shule kuendelea na
masomo mwezi Oktoba mwaka uliopita
akiwa na miaka 99 kufuatia kushauriwa
na mmoja wa wajukuu zake.
Manuela Hernandez akiwa ameshikiliacheti chake cha kuhitimu elimu ya
msingi.Hivi sasa tayari amekabidhiwa diplomayake ya elimu ya msingi
katika shereheiliyofanyika katika jimbo Mexico Kusini.Bibi Hernandez
amesema sasa ataendeleana masomo ya elimu ya sekondari.Zaidi ya nusu ya
wakazi wa jimbo laOaxaca wenye umri wa zaidi ya miaka 15hawajamaliza
elimu ya msingi.
WARIOBA AMCHANA LIVE PROF. SHIVJI
2:01 AM
No comments
DAR ES SALAAM.
MJADALA wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.
MJADALA wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.
“Shivji alikuwa anasema Tanganyika imejificha kwenye Muungano ili inufaike. Kwa hiyo anasema Tanganyika iwe wazi isijifiche,” alisema Jaji Warioba.
Wednesday, March 26, 2014
Monday, March 24, 2014
EXCLUSSIVE!!!!!! HUYU HAPA YULE MTOTO ALIYEOTA NYAMA ZA AJABU MWILINI KAMA PEMBE..... maombi yako ni muhimu
5:12 AM
No comments
HAKIKA UKIFANYA HIVI MUNGU ATAKUBARIKI KUWA NA HURUMA
| LAZIMA utokwe machozi! Grace John mkazi wa Mzumbe, Mvomero mkoani Morogoro yupo kwenye wakati mgumu kutokana |
BADO ANAHITAJI MSAADA
“Madaktari wametupa moyo, wamesema watajaribu kumsaidia mwanangu.
Watamtoa hizo nyama ila kwa sababu kutabaki na mashimo lazima
wapandikize nyama nyingine.
“Tumeshakubaliana kuwa mimi ndiye nitakayekatwa sehemu ya nyama
kutoka kwenye makalio yangu kwa ajili ya kumsaidia mwanangu,” alisema
Bi. Grace, kilio kikisikika kwenye simu.










