Monday, March 24, 2014
Saturday, March 22, 2014
WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA RAIS KIKWETE
10:56 PM
No comments
PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA
10:54 PM
No comments
NA PRINCEMEDIA BLOG
Friday, March 21, 2014
Thursday, March 20, 2014
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
8:47 AM
No comments
Lakini amepuuzilia mbali wito wa Rais Zuma kuondolewa mamlakani kwa kura ya wabunge au hata kujizulu.
Hapo jana mdhibiti wa mali ya umma,Thuli Madonsela, alisema kuwa Zuma alitumia sehemu za pesa za umma zilizotengewa ukarabati wa nyumba yake kwa mambo yake binafsi.
Thuli Madonsela, aliamuru Rais Zuma kulipa pesa za ziada alizotumia za umma kukarabati nyumba yake ya kifahari, akisema kuwa alijinufaisha na pesa za umma kwa njia isiyofaa.
Ukarabati huo, ulijumuisha bwawa la kuogelea, kliniki binafsi na eneo la helikopta kuweza kutua.
Chama hicho kimesema kuwa ripoti hiyo imetolewa wakati usiofaa nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu mwezi Mei.
Simiyu yakabiliwa na Njaa kali!!!!!!!!!!!!!
2:19 AM
No comments
ZAIDI ya Watu lakini tano (500, 000) Mkoni
Simiyu, wanakabiliwa na Njaa kutokana na kutopata Mvua, hali inayofanya
Mazao yao kukauka kwa sababu ya jua.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti ametoa agizo hilo Machi 18, mwaka huu ambapo amewataka
Wananchi wa Mkoa huo, wasiuze Chakula kidogo walichopata kwani hivi
sasa hali ni mbaya huku akiwaagiza Viongozi wa Wilaya kuhakikisha kuwa
wanadhibiti uuzwaji wa Chakula kwa baadhi ya Wananchi wa maeneo husika.
Wakielezea hali ya Chakula katika Kata
zao, baadhi ya Madiwani wa Mkoa huo wamesema hali ya Chakula katika Kata
zao ni mbaya kutokana na Ukame unaosababishwa na hali ya mabadiliko ya
tabia ya Nchi.
Kufuatia hali hiyo Mkuu wa Mkoa amewaagiza
Wananchi wa Mkoa huo, kulima Mazao yanayostahimili Ukame, kama Mtama,
Viazi Vitamu na Kunde ili kuendana na Hali ya Hewa.










