NICE MEDIA WORKS

KWA WAIMBAJI WA INJILI

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, December 4, 2013

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUJENGA MAZOEA YAKUJISOMEA VITABU MBALIMBALI!!

Mkurugenzi wa redio faraja Bw.Simeo Makoba akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari na Utangazaji.


Mkurugenzi wa kituo cha redio faraja Bw.Simeo Makoba amewataka waandishi wa habari kujenga mazoea ya kujisomea vitabu pamoja na kusikiliza vyombo mbalimbali vya habari ili kujua taarifa zinazoendelea hapa nchini na nje ya nchi.

MAHAFALI YA SABA KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (AJTC) KUFANYIKA HIVI KARIBUNI!



Maafali ya saba katika Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha (AJTC) yanatarajiwa kufanyika hivi  kwa na lengo la kuwaaga wanafunzi wanaohitimu ngazi ya Cheti na Stashahada katika tasnia ya habari.

Kwa mujibu wa  Mlezi wa wanafunzi wa chuo hicho Bw.Andrew Ngobole alisema kuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo anatarajiwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mh.Nyirenda Munasa. 



 Mahafali hayo yanatarajia kufanyika mnamo tarehe sita (6) mwezi wa kumi na mbili katika ukumbi wa PPS ulioko maeneo ya Mbauda mkoani Arusha ikiwa ni mahafali ya saba tangu kuanzishwa kwa chuo hicho.

Tuesday, December 3, 2013

WANANCHI WAASWA KUJENGA MAZOEA YAKUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA!!

Katika kuelekea kuadhimisha siku ya ukimwi duniani, meya wa manispaa ya jiji la Arusha Bw. Gaudens Lyimo amewataka wananchi kujenga mazoea ya kupima afya zao kila wakati ili kutokomeza maambukizi ya virusi vya ukimwi

Sunday, December 1, 2013

KAULI MBIU YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI:“TANZANIA BILA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU, VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI NA UBAGUZI NA UNYANYAPAA INAWEZEKANA”

Siku ya UKIMWI Duniani iliasisiwa rasmi na Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) mwaka 1998 na imeendelea kuadhimishwa kila mwaka ifikapo Desemba mosi kwa uratibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI (UNAIDS). 

WANAHABARI WATAKIWA KUWAFICHUA WANAOUZA DAMU MAHOSPITALINI!!

Mtaalamu  kutoka tume ya uchangiaji damu salama Nchini Bw.George Chambo akitoa utambulisho mfupi wa msafara aliofuatana nao.

Katika kuhakikisha kunakuwepo na damu ya kutosha katika benki ya damu mahospitalini waandishi wa habari wametakiwa kuwa msitari wa mbele kuchangia damu pamoja na kuwafichua wale wote wanaohusika  kuuza damu kwa wagonjwa.

Wito huo umebainishwa na mtaalamu wa Mpango wa Taifa wa  kuchangia damu salama  Bw.George Chambo alipoongea na wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa habari na utangazaji Arusha katika zoezi  lililofanyika la uchangiaji wa damu.